MWIGULU AWATAHADHARISHA LEMA NA MNYIKA

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mwigulu Nchemba amewatahadharisha Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema na Mbunge wa Kibamba Mh. John Mnyika kuwa makini na kauli zao juu ya suala la mauaji linaloendelea Kibiti Mkoani Pwani.

Mh. Mwigulu alitoa Kauli hiyo jana bungeni kufuatia kauli zilizotolewa na wabunge hao wakati mijadala mbalimbali ikiendele bungeni.
Kuendelea Kupata taarifa kama hizi endelea Kutembelea Millennium TV na ku follow mtandao wetu wa Tweeter/Millennium TV

0 comments: