KUELEKEA TAMASHA LA "DODOMA MPYA CONCERT"... BASATA YAIPONGEZA KAMPUNI YA MILLENNIUM STARS ENTERTAINMENT, YAAHIDI USHIRIKIANO
1:14:00 PM
0
comments
Baraza la Sanaa la Taifa ( BASATA) limeahidi kutoa ushirikiano katika Shughuri mbalimbali zinazoandaliwa na Kampuni ya Millennium Stars Entertainment zenye lengo la Kuinua na kukuza Sanaa nchini Tanzania. Hatua hiyo ya BASATA imekuja baada ya Kampuni ya Millennium Stars Entertainment kuitikia wito kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA kujadili juu ya Tamasha la "DODOMA MPYA CONCERT" lenye dhamira ya kuhamasisha ujio wa makao makuu ya Serikali Mkoani Dodoma.
Katika hatua nyingine Baraza la Sanaa la Taifa limeahidi kutoa ushirikano wa hali na mali ili kufanikisha tamasha hilo la kihistoria nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kutoa mtaalamu atakayesaidia katika kutoa ushauri na maelekezo katika kufanikisha Tamasha hilo.
Katika hatua nyingine Baraza la Sanaa la Taifa limeahidi kutoa ushirikano wa hali na mali ili kufanikisha tamasha hilo la kihistoria nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kutoa mtaalamu atakayesaidia katika kutoa ushauri na maelekezo katika kufanikisha Tamasha hilo.
0 comments: